Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Nakupikea 03.30Mlinzi wa zamu nipo hapa.... Nipo macho 0329HRS
Ukitaka kulala,mie nipo niendelee.Nakupikea 03.30
kuna lijamaa nmeona mahali linachekelea eti mods wamefuta uzi wako 😆na tangazo ulshatoa kua utafutwa,,nkacheka kmya kmyaSiyo uzi wetu. Ule unaotusema vibaya. Tuko pamoja mamii 🥰
😂Wanga mtakoma
Mwizi kaibiwaBado Niko nje ya hii gesti Kama mlinzi. Nasikia humu ndani jamaa baada ya kusikia swala swala wameanza amsha amsha. Wanawake wezi Sana. Walipokuja walikua wanafanya kimya kimya, Sasa hivi humu ndani kila mmoja anajaribu kumzidi mwenzie miguno maana wakati wa kukatiwa pochi umekaribia.
Ulinzi wa kwenye gesti unahitaji ubumilivu jamani.
Uko nje ya mdaa ilo lisaa tushalipita mda