JamiiForums Usiku wa manane

Aaagh usingizi umekata najitahid nifumbe macho labda nitalala… aah wap kichwa inazid waza mambo n meng
 
hivi kama nikisema nikomae nisilale.. na kipindi hicho wachawi wamenipangia mpango wa kunilimisha si nitakuwa nmewapunguzia nguvu kazi….. Ngoja nione watatumia mbinu gani kunipata #leosilali 😂😂😂
 
Wadau kwani mia khalifa amestaafu au??? Sijaingia kweny platform zao mda sana sijui hata miaka mitat hii tuzo wamepata wakina nan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…