Jamaa unamixije dagaa+wali+maharage?View attachment 3086264
Wakuu kitu hichoo cha mtume...
Hapa story tuu kula kwenu.👀
Baadae wajumbe......
Hahaa 😂 leo nimebahatika kukuona ontymeLeo mapema tu nimeingia lindoni .Niko hapa until Dawn.
muda wa lindo umewadiakipanga85 , jooohs , To yeye, @cassinzoba, Hope urassa , The Legacy , Curtiz, Baba Ndumbwi muda wenyewe huu
Hahaa 😂, hakika this is work true truemuda walindo umewadia
kazi kweli kweli/jobtruetrue
Yaani uswazi ni tatizo, unaagiza wali mboga wanajua wenyewe wanamix aje.Jamaa unamixije dagaa+wali+maharage?
Msosi mwema✊
Wanatia na vimaneno "Nimekubalansia dayati uje na kesho mteja wangu"😊Yaani uswazi ni tatizo, unaagiza wali mbona wanajua wenyewe wanamix aje.
Wanadai hawana bakuli Safi muda huu afu washachokaa
Wanatia na vimaneno "Nimekubalansia dayati uje na kesho mteja wangu"Yaani uswazi ni tatizo, unaagiza wali mbona wanajua wenyewe wanamix aje.
Wanadai hawana bakuli Safi muda huu afu washachokaa
234023:30
Huyo mwenye kofia ndo fundi?View attachment 3086324
Mafundi sometimes wanazingua ni mbayaa.
Tangu asubuhi hajamaliza,afu nimefika anaacha kabisa eti kachokaa👹
Sasa limshangazi nakwenda kujielezaje na gari yake alisema kesho anaenda nayo shughulini😳😳
Au nizime simu wakuu??
Ila sasa siko tayari kuwa nje ya uzi huu wa Jf mida ya wanga🙄😂😂
🤣🤣🤣😂😂tena na umekuta tunakaribia kufunga hii ilikuwa riziki yako hii.Wanatia na vimaneno "Nimekubalansia dayati uje na kesho mteja wangu"
2340
Huyu ni fundi msaidizi, fundi mkuu keshasepaa naambiwa afu hajaaga na simu kazimaa🤔👀😬😬Huyo mwenye kofia ndo fundi?
hii nchi ngumu sanaView attachment 3086324
Mafundi sometimes wanazingua ni mbayaa.
Tangu asubuhi hajamaliza,afu nimefika anaacha kabisa eti kachokaa👹
Sasa limshangazi nakwenda kujielezaje na gari yake alisema kesho anaenda nayo shughulini😳😳
Au nizime simu wakuu??
Ila sasa siko tayari kuwa nje ya uzi huu wa Jf mida ya wanga🙄😂😂
Ni vile tuu bastola hazipatikani kirahisi, sijiu ingekuwajehii nchi ngumu sana
Na hii mboga ikilala itaharibika, vipi nikuongeze?😊🤣🤣🤣😂😂tena na umekuta tunakaribia kufunga hii ilikuwa riziki yako hii.
HakikaKitambo wakuu