Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Nawe pia ndugu yangu, iwe njema mara dufu.Ukawe na siku njema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawe pia ndugu yangu, iwe njema mara dufu.Ukawe na siku njema
Mh! Sio sana kwa kweli, miaka ile ya mwanzo ya 2000 ilikuwa migumu kwa kiasi chake.Yaani afu mtihani wenyewe ulikuwa mrahisi sana basi tu
Asante sanaNawe pia ndugu yangu, iwe njema mara dufu.
Sisi wa mid 90s hamna kitu 😃😃😃Mh! Sio sana kwa kweli, miaka ile ya mwanzo ya 2000 ilikuwa migumu kwa kiasi chake.
🤣🤣 Hakuna asiye na chochote ,kila mmoja wetu na jaliwa lake ndugu yangu.Sisi wa mid 90s hamna kitu 😃😃😃
Uoga kwa vitu vidogo 😀😀
Yap,Uoga kwa vitu vidogo 😀😀
Usijali. Nitapona na kurejea.Leo naona upo serious pole sana nisamehe bure nilijua utani😥
Utapona usijali tunakupenda tunakujaliUsijali. Nitapona na kurejea.
Asante sana mpendwa 🙏
hata umpe na roho yako bado hatakuelewaUme nikumbusha profesa mmoja alikuwa na mke wake mdogo, yule mdada alikua akiishi eneo lenye shida ya maji, profesa wa watu alinunua gari na kuajiri dereva kwa ajili ya kuhakikisha mke hapungukukiwi na hata tone moja ka maji !
Kilicho nifurahisha vile walivyo achana tu, mwanamke hata umpe nini hachelewi kukustaajabisha.
Majini tupo 💀💀Azazel,Amna watu hapa
We kumbe upogo tuMajini tupo 💀💀Azazel,
tumefika mkuu usijali lindo lipo salama kabisaAmna watu hapa
Nambie Mshkaji
Nipo hapa mwenyekiti wenuSafe tu, kaeni hapa
Boss tajiri
Broo uliyeweka dp ya obama naomba kuuliza hivi wewe ni luo tribe?