JamiiForums Usiku wa manane

Kwani wakisoma ramani shida nini au unakula chakula cha mtu?
Shida unakula kiwoga woga sana unategemea nini?
Fake P EBU njoo mlinziπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Na kweli,maana kuna muda niko speed nkasikia mtu Kapita karibu na mlango kaelekea toilet, muda huo napeleka afu kilio yaani yowee....
Najiuliza hakusikiaaa😳😳
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…