Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kweli,maana kuna muda niko speed nkasikia mtu Kapita karibu na mlango kaelekea toilet, muda huo napeleka afu kilio yaani yowee....Kwani wakisoma ramani shida nini au unakula chakula cha mtu?
Shida unakula kiwoga woga sana unategemea nini?
Fake P EBU njoo mlinzi😂😂😂
Nishatoka mimi,maana hofu mpaka jasho lanitoka.Pole sana kama inasimama we pelekea moto mpaka aombe poo
😥😥Itakua Kuna mtu amekuaga usiku mwema sasa hivi.Leo mapema tu nimetia timu mpaka alfajili na sign out
Hapana sio kweli niko singo ndugu.😥😥Itakua Kuna mtu amekuaga usiku mwema sasa hivi.
Lugha gonganaUnautaka hapo mbele? 😏😏😏
😂😂 huyo Mamchagaa ameshiba mbege namcheulisha tuLugha gongana
Wewe dada fake p hulalagi😂😂 huyo Mamchagaa ameshiba mbege namcheulisha tu
Pole bro, muhimu focus kwenye paa positive issues utapata usingiziUsingizi umekata jamani,bahati mbaya sina hata kiporo cha Gin
Mi hata punje ya usingizi hamna nimeshapita majukwaa yote sioni hata Cha kusoma, najaribu kuangalia movie lkn holaaa sielewi....na kati kati ya week siwezi chapa Rivella, gin Wala kisungura 😁Usingizi umekata jamani,bahati mbaya sina hata kiporo cha Gin
Pokea tu broMimi kuna video call inaingia hapa telegram jina tapan mistri afu simuji nimeamua kukata aisee usiku wote huu
Tafuta movie ulio wahi angalia ikakuvutia na kusisimua uirejeee uta enjoy naaminiMi hata punje ya usingizi hamna nimeshapita majukwaa yote sioni hata Cha kusoma, najaribu kuangalia movie lkn holaaa sielewi....na kati kati ya week siwezi chapa Rivella, gin Wala kisungura 😁
Kushtua utumbo kidogo,Kuamka Asubuh na mapema ni sheriaMi hata punje ya usingizi hamna nimeshapita majukwaa yote sioni hata Cha kusoma, najaribu kuangalia movie lkn holaaa sielewi....na kati kati ya week siwezi chapa Rivella, gin Wala kisungura 😁