Nyakisesee2
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 232
- 382
5:32
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umechelewa leo!00:54 Maingate
Kulikua na jam sana njiani mkuu. Hata hivyo nimekuta empty empty tuUmechelewa leo!
Siku mbili hizi kuko wazi sana, kumepoa kiaina!.Kulikua na jam sana njiani mkuu. Hata hivyo nimekuta empty empty tu
Watu walinzi ni wagombea wa uenyekiti itakuaSiku mbili hizi kuko wazi sana, kumepoa kiaina!.
Pole jam
HahaWatu walinzi ni wagombea wa uenyekiti itakua
Hapana wapo na waganga makaburini hukoHaha
So wapo kwenye kura za maoni now sio
Watake radhi aisee, uwenyekiti tu ndio mtu ajihatarishe kiasi hicho?Hapana wapo na waganga makaburini huko
🤣🤣🤣 Usiku mzito hatujali sio shida zao watu wapo rede rede al ze timeWatake radhi aisee, uwenyekiti tu ndio mtu ajihatarishe kiasi hicho?
Imagine usiku mzito hivi uwe sehemu hizo kweli
Japo wanawanga hao wagombea, kuna bi mkubwa mmoja alikua mother house wangu , uchaguzi wa 2014 usiku muda kama huu alikua anazunguka nyumba yake uchi aisee!🤣🤣🤣 Usiku mzito hatujali sio shida zao watu wapo rede rede al ze time
Aliyapataga au!Acha tu, alikua mmama wa kinyamwezi kaenda hewani kajazia !
Ila madaraka haya!!
Alishinda bwana tena misimu miwili, hio 2014 alikua anagimbea mara ya pili, alianza 2009.Aliyapataga au!
Duuh hukuwahi kumla!, 😁Alishinda bwana tena misimu miwili, hio 2014 alikua anagimbea mara ya pili, alianza 2009.
Alikua ni mtu mzima kidogo, mi nilianza kukaa kwake 2008, nilikua mdogo ndio nilika naanza maisha bwanaDuuh hukuwahi kumla!, 😁
Oh sawaAlikua ni mtu mzima kidogo, mi nilianza kukaa kwake 2008, nilikua mdogo ndio nilika naanza maisha bwana