Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 1,012
- 2,317
mbona hawa alikuwa na mwanaume mmoja adamuSema Mummy wetu hujui kuwa hakuna mwanamke mwenye mwanaume mmoja!?
Shetani je!? Hujui shetani alivyojamiana nae ndo sababu kuu ya sisi kuteseka huku duniani!?mbona hawa alikuwa na mwanaume mmoja adamu
shetani hakuwa na mahusiano na hawa yeye sio mwanadamuShetani je!? Hujui shetani alivyojamiana nae ndo sababu kuu ya sisi kuteseka huku duniani!?
Mbona alimtongoza hadi akakubali kula tundashetani hakuwa na mahisiano na hawa yeye sio mwanadamu
shetani hakumtongoza kimapenzi yeye sio mwanadamu bali alimdanganya kuhusiana na lile tunda mungu alilo kataza asileMbona alimtongoza hadi akakubali kula tunda
wewe uhusiano naye umeanza lini ?Si ndo huo mtongozo wa uovu mkuu in short tusiingie deep sana huko
Mimi na mummy wangu tunamiadi yetu naomba usiingilie kati
Ni siri yetu hiyo ila mwezi huu nilimfukulia kaburi la miaka ya 2013 huko akasema atanipa maufundi flani flani 😄😄Uwewe uhusiano naye umeanza lini ?
Si ndo huo mtongozo wa uovu mkuu in short tusiingie deep sana huko
Mimi na mummy wangu tunamiadi yetu naomba usiingilie kati
alafu ikawaje ?Ni siri yetu hiyo ila mwezi huu nilimfukulia kaburi la miaka ya 2013 huko akasema atanipa maufundi flani flani
alafu ikawaje ?
Yuko dom nataka aje dsm tufanye yetu ramada hotelalafu ikawaje ?
Madame B kwahiyo una wanaume wengine mimi naona tuachane🙄Ni siri yetu hiyo ila mwezi huu nilimfukulia kaburi la miaka ya 2013 huko akasema atanipa maufundi flani flani 😄😄
Madame B umesikia nakuacha kwa hili🙄Yuko dom nataka aje dsm tufanye yetu ramada hotel
muulize Madame BKwani nyie mlikuwa serious!
ngoja nikuachie mkuu mchukue tu peke yako🤣🤣🤣🤣🤣 Poleee mkuu let's share acha kususa
mimi nipo single now mkuuAsante Madame B 🤗🤗🤗