Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
24/7 hahaha, labda kwa kuvizia vizia.Hahahaha..walinzi tupo 24/7
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
24/7 hahaha, labda kwa kuvizia vizia.Hahahaha..walinzi tupo 24/7
Hahahaha..mie niko muda wote24/7 hahaha, labda kwa kuvizia vizia.
haya sawa, asubui njema.Hahahaha..mie niko muda wote
Hahahaha,na wewe piahaya sawa, asubui njema.
Ni kweli wazo zuriNimeongea na moderator wawe wanafunga huu uzi saa kumi na moja asubuh kisha wafungue saa sita.
tutakua tunachat hapa usiku tu hata mimi nimekosea kutoa haya maelezo mchana
Sio walinzi matajiri, walinzi wamelala lindo matajiri tupo macho tunalinda maliNime fanya makusudi tu, nione ka walinzi wapo😂
Huyo mod atakaekua macho saa sita ni nani? Nataka kuchat nae muda huoNimeongea na moderator wawe wanafunga huu uzi saa kumi na moja asubuh kisha wafungue saa sita.
tutakua tunachat hapa usiku tu hata mimi nimekosea kutoa haya maelezo mchana
Ataset automaticHuyo mod atakaekua macho saa sita ni nani? Nataka kuchat nae muda huo
Mimi ni raisi wa ma jobless pro max, hivyo nitoe kwenye list ya matajiri🤣Sio walinzi matajiri, walinzi wamelala lindo matajiri tupo macho tunalinda mali
Ni haki yako kutoa maoni, ila mswahili Wana sema kufata yasiyo kuhusu kaungane na kina mama.Nimeongea na moderator wawe wanafunga huu uzi saa kumi na moja asubuh kisha wafungue saa sita.
tutakua tunachat hapa usiku tu hata mimi nimekosea kutoa haya maelezo mchana
😅 ziwa victoria mvua imechapa kweli kweli.. ndio naamka hapaNi haki yako kutoa maoni, ila mswahili Wana sema kufata yasiyo kuhusu kaungane na kina mama.
Kanywe supu uondoe hangoverNi haki yako kutoa maoni, ila mswahili Wana sema kufata yasiyo kuhusu kaungane na kina mama.
sija wahi tumia kilevi chochote, beside sio Mimi ni fa ndo ali sema hivyo.Kanywe supu uondoe hangover
HahahahaSio walinzi matajiri, walinzi wamelala lindo matajiri tupo macho tunalinda mali
Inabidi uhamie makapuku sasaMimi ni raisi wa ma jobless pro max, hivyo nitoe kwenye list ya matajiri🤣
hapana, raisi wa ma jobless pro max Nina head quarters zangu.Inabidi uhamie makapuku sasa
sikukujua, that's why siku chukulia serious😂😅 ziwa victoria mvua imechapa kweli kweli.. ndio naamka hapa