makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787]LINDO linaanza mapema ila mshahara unachelewa kutoka
Nikusaidie kuunganisha au nikupe gwanda la lindo.Lindo km Lindo!!
Leo usingizi umekata kabisaa, aaah
Aaaaah wapiiiii .... Leo ntaondoka na Mali za boss[emoji1787]
Pesa za mshahara naskia waliweka LBL tuwe wavumilivu.
Boss mwenyewe anaitwaAaaaah wapiiiii .... Leo ntaondoka na Mali za boss
Mlinziii Mimi
Mwizi Mimi Leo
Aaaah Wee!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikusaidie kuunganisha au nikupe gwanda la lindo.
[emoji23]
Kama anaweza Kuzuia upepo tutaona!Boss mwenyewe anaitwa
No Escape
we huogopi [emoji23]
Leo lindo linalindwa na mwizi [emoji23]Kama anaweza Kuzuia upepo tutaona!
Kama ambavyo watu hawajui upepo unatoka wapi na kwenda wapi, ndivyo nilivyo mimi
Uzuri hawakunyanganyi utatoa mwenyewee,tena unauliza Namba ipi nikuwekee........01:15
Nyuma ya mafanikio ya kila mwanaume, kuna mwanamke (anaomba hela).