tribute to the founderNimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmoja wapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nn kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11Asbh. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua nakunywa maji na kwenda kukojoa tu mpaka kukuche!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aaah
naona usha ni bestzone mapemaa kabsa. skubali.
pole sana, but kama una hisi hali inakusumbua wacheki wataalam, mie nakosa usingizi ila na enjoy
Asanteh sanaUsingizi mwema
bas usjali itaisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni hali ya muda itapita tuu,
haya good nytAsanteh sana
[emoji23][emoji23][emoji23]bas usjali itaisha
ila mimi ukikesha hapa na enjoy kabsa
shda nn ndugu?Duuuuuu
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Mkuu habari za R. CityDuuuuuu
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Unaenda wapi tena?[emoji23][emoji23][emoji23]
Embu niache mie nifate ushauri wa Manga, usiku mwema.
Ni tam tam tuMkuu habari za R. City
Amkaa nimeku miss atiiiwahengaaa haoooo
Wewe shauri yako, mfundishe mwenzako tuu alale aamke akute Tanzania imehamia KIBITIAcha cm kabisa inakata usingizi kama huna uchovu zima kamata shuka
Bora hata upo macho nilianza kuogopa humu ndani.[emoji103] [emoji104] [emoji101] [emoji102]
Ushamaliza wako sie tunao bembeleza utuwache.Haya haya mapopo walio macho tushike namba
Sent from my IPhone 7 plus by using JamiiForums mobile app