Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo manane yenyewesaa ngapi sasa iv...?
Hahaha
Ngoja nijaribu kulala
Mwenyewe nalinda usalama mkuu..
Ulale sio ujaribu.... Tunaotakiwa kuwa macho mida hii ni sisi na kina "the bold"... Si kwa nia mbaya ila ni kwa sababu za kiusalama tu...!!
Toba.....[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Na mie popo leo
Kumbe na wewe ni kwenye kazi za usiku kama mimi......[emoji13] [emoji13] [emoji13]Mwenyewe nalinda usalama mkuu..
Ngoja nijaribu tuu kusinzia
Geast*Mimi kunguni wamepoteza usingizi wa uchovu wa safari
Maeneo ya kariakoo JB gest
Ni Usiku wa matisa na dkk 18saa ngapi sasa iv...?
Geast ? Gest ?guest ?? Usijari tumeelewa na siku nyingine lala hotelini achana na guest....Geast*