Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Ha ha ha zamu yangu kuangaza.poa
nambie malaika mweusi
Safi za tangu lindo la Jana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha zamu yangu kuangaza.poa
nambie malaika mweusi
Haya bana
Ha ha ha. ThreesomeWw mtu unaroho mbaya sana mpaka uje tubanane wote hapa?
Sisi tumeeneana katafute wako mchati..
hahahahaWw mtu unaroho mbaya sana mpaka uje tubanane wote hapa?
Sisi tumeeneana katafute wako mchati..
Hamna usingizi hii nyumba sijui ina majin.Mbona hujalala..
hahahahHa ha ha zamu yangu kuangaza.
Safi za tangu lindo la Jana?
Ha ha ha aende akatafute mwingine eti?hahahaha
ila ndugu yangu hapa kwa DA niachie bas, wewe ni maarufu sana jf utapata wengine bhana.
hahahaha
ila ndugu yangu hapa kwa DA niachie bas, wewe ni maarufu sana jf utapata wengine bhana.
Ha ha ha aende akatafute mwingine eti?
Au akakuletee popo mwingine
Hapa nimetafuta usingizi wee i!meshindikana.hahahah
Afande Malaika unaingia late sana lindoni wewe.
toka jana ilikuwa poa, leo mchana nlikuwa nasnzia kila sehem, hata nikisimama nlikuwa nasinzia.
aahHa ha ha aende akatafute mwingine eti?
Au akakuletee popo mwingine
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Kwakwaaaaaaaaa pale komando anapojisalimisha kwa mgambo..ngoja basi niwapishe..
-Mond-
Umenikumbusha mbali sana. Kaka yangu mkubwa alikuwa anatabia kaka yangu mdogo akija na classmates wake wa kike ....Jamaa mm ndio nimewahi lkn ananifukuza haya bwana..
-Mond-
ujue bas kuna mtu una muwaza, au kuna kitu una waza, sema sana sana mtu.Hapa nimetafuta usingizi wee i!meshindikana.
Nimejifunika gubi gubi lakini wapi. Nikaamua tuu nije huku nitapata mawili matatu
Hahahha ataenda kufukua maiti za 1900.[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
nashukur bro wewe najua utapambana mbele kwa mbele.
usi sinzie sasa
Umenikumbusha mbali sana. Kaka yangu mkubwa alikuwa anatabia kaka yangu mdogo akija na classmates wake wa kike ....
Itaendelea lindo la kesho
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Umenikumbusha mbali sana. Kaka yangu mkubwa alikuwa anatabia kaka yangu mdogo akija na classmates wake wa kike ....
Itaendelea lindo la kesho
teh tehHahahha ataenda kufukua maiti za 1900.
Huyo ni wakufungiwa mahali asitoke maana madhara yake ni makubwa sana
Hahahha ataenda kufukua maiti za 1900.
Huyo ni wakufungiwa mahali asitoke maana madhara yake ni makubwa sana
Hapana siwazi mtu kufikia hatua ya kukosa usingizi .ujue bas kuna mtu una muwaza, au kuna kitu una waza, sema sana sana mtu.
kujifunika gubi gubi ndio kuna kiwaje vile?