Boogman
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 2,439
- 5,612
Marhabaa,hahahaa naaanzaje kukuchunia kwa mfano?haitotokea uwe na amani ya kutosha mkuu!Shikamoo dumejeuri we si umenichunia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marhabaa,hahahaa naaanzaje kukuchunia kwa mfano?haitotokea uwe na amani ya kutosha mkuu!Shikamoo dumejeuri we si umenichunia
Ahahhh hapo sawa nina amani kabisa mzima lakiniMarhabaa,hahahaa naaanzaje kukuchunia kwa mfano?haitotokea uwe na amani ya kutosha mkuu!
Namshukuru Mola kwa zawadi ya pumzi,hofu kwako!Ahahhh hapo sawa nina amani kabisa mzima lakini
Me namshkuru sana Mungu bado ananipiganiaNamshukuru Mola kwa zawadi ya pumzi,hofu kwako!
Nitairudisha mdogo wanguInanitisha jamaan irudishe tu ya mwanzo
Sawa mdogo wangu...Dada angu sakayo acha nilale avatar yako inanitisha nitaota naomba urudishe ya mwanzo siingii jf mpaka ubadili hii avatar na kurudisha ya mwanzo
Ndio furaha yng!Me namshkuru sana Mungu bado ananipigania
Au ndo kusema umeoaaahsante kwa kunimiss
sku hzi viwango vya kukesha vina nipungua sanaa
hahahahaAu ndo kusema umeoaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Dada angu sakayo acha nilale avatar yako inanitisha nitaota naomba urudishe ya mwanzo siingii jf mpaka ubadili hii avatar na kurudisha ya mwanzo
hahaaaKaribu kwenye mkesha mpz
hahahaha[emoji3][emoji3][emoji3]
Nililala kabisa japo iceman alikuwa ananisumbua baada ya kichwa kichafu kunitelekeza lakini nilipiga moyo konde nikafata ushauri wa mwalimu na kulala usingiz kabisa
khaaa!Ukionionea Manga mwambie namtafuta jaman
Sasa mbona leo umenikimbia? Ujue umeanza kuwa na tabia kama za kichwa kichafuhahahaha
ujue ulivo kuwa macho na mie nlikuwa najitahid niwe macho ndio sabab nlikuwa sku achi ulale
halaf wewe ukawa unataka ulale mapeema.
jana uliwahi sana
Manga akuje tuu maana shunie anamtafuta sana jamanikhaaa!
wewe na Manga mna dili gan?
huwa anakuja late kdogo
hahahahaSasa mbona leo umenikimbia? Ujue umeanza kuwa na tabia kama za kichwa kichafu
[emoji23][emoji23][emoji23]hahahaha
kwa hiyo mi ni sub kichwa kichafu asipo kuwepo ndio niwe sub eeh!
sku hizi Ney kiwango cha kukesha kina pungua mama
shunie hadi ana kesha sasa kisa Manga haonekani! [emoji23] [emoji23]Manga akuje tuu maana shunie anamtafuta sana jamani
hahaha[emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa mimi nitabaki na nani jamani mbona wote mnanifanyia hivyo?