JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Naona wanapishana ka tamthilia... Jana Manga kakesha akimuwinda Shunie.... Leo zamu ya Shunie, nahisi keshasinzia na simu mkononi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
wawe wana nigea ujumbe mimi
au wanampa Ney
sisi tutakuwa ma middlemen
 
Back
Top Bottom