JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

funny will be, utakapoanza kutype hivi,

mbdbjfat##*$&€@
Lol, kalale kabla hayajakukuta.

Sent from my siemens kidole juu using JamiiForum mobile app
hahahahaa
una uzoef wa ku type na usingizi nn!!?

kina sku mwaka 2012 nliwahi kumuandikia mzee wangu vitu vya ajab ajab
kisa nasnzia
halaf ilikuwa mchana tuu.
 
hahahahaa
una uzoef wa ku type na usingizi nn!!?

kina sku mwaka 2012 nliwahi kumuandikia mzee wangu vitu vya ajab ajab
kisa nasnzia
halaf ilikuwa mchana tuu.
yeah, mtu yyt ina mtokea, mimi zaidi hua kwenye kuongea na simu, lol
ni vituko hlf nikiulizwa unasinzia nakataa, ila mada iliyopo na ninayojibu tofauti. lol

Sent from my siemens kidole juu using JamiiForum mobile app
 
Back
Top Bottom