Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Tupo mkuu karibu hu socialize
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo mkuu karibu hu socialize
Asante sina usingizi kabisa ndo nakunywa bomberdia Labda itanips usingiziTupo mkuu karibu hu socialize
Bomberdia ndiyo kinywaji gani mkuuAsante sina usingizi kabisa ndo nakunywa bomberdia Labda itanips usingizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Bombardia ndio kimiminika gani mkuu? Wengine ni wageni mitaa hii.Asante sina usingizi kabisa ndo nakunywa bomberdia Labda itanips usingizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni ule usafiri mkuu wa kwenda dodoma, cku ukitaka kuhamia dodoma nambie . ( konyagi )Bomberdia ndiyo kinywaji gani mkuu
Konyagi kubwa ile ya filter huku kwetu tunaita. BomberdiaBombardia ndio kimiminika gani mkuu? Wengine ni wageni mitaa hii.
Sent from my Kremlin using JamiiForum mobile app
Hahahaha watu mna vitukoHuu ni ule usafiri mkuu wa kwenda dodoma, cku ukitaka kuhamia dodoma nambie . ( konyagi )
Sent using Jamii Forums mobile app
Poa mkuu,nawatakia upopo mwema huko,mimi majukumuni now. Mkeshe kwa uangalifu kwani mkesha wa kupindukia ni hatari kwa afya zenu.
Hakuna kitu nauma Kama we usingizmekata alaf Jiran yako kit and a kimoja umelala na anasema usimsumbue wakat kitanda godoro unenunua wewe alaf hata ukimuamsha dakika mbili anakoroma tena wewe masaa matatu usingz hakuna unaweza kuamkia Kwa mganga pumbav
Asante sana goodnight[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102]Poa mkuu,nawatakia upopo mwema huko,mimi majukumuni now. Mkeshe kwa uangalifu kwani mkesha wa kupindukia ni hatari kwa afya zenu.
Sent from my Kremlin using JamiiForum mobile app
Alafu wahenga wanashindwa kujiongoza kuelewa fursa tukanyakuana[emoji23] [emoji23] [emoji23]Utafiti unaonyesha wanaochat sahivi wengi wao ni wapweke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee mie nkioana anakoroma namstua namdanganya kuna vibaka wanavunja mlango ili tuwe wote machoPole mkuu ndio maisha alaf hakuna kitu nakera Kama wewe huna usingiz alaf Jiran yako anakorom
Hakuna kitu nauma Kama we usingizmekata alaf Jiran yako kit and a kimoja umelala na anasema usimsumbue wakat kitanda godoro unenunua wewe alaf hata ukimuamsha dakika mbili anakoroma tena wewe masaa matatu usingz hakuna unaweza kuamkia Kwa mganga pumbav
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie sio mpweke kama mume hajarud mpaka ss hiv Inabid niwe macho ili nimfungulie getUtafiti unaonyesha wanaochat sahivi wengi wao ni wapweke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]