Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,690
- 14,477
Karibu tukae machoMabundi hawajalalaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu tukae machoMabundi hawajalalaa
Karibu kwenye chama cha mapopoMabundi hawajalalaa
Mamii shida nini!Karibu tukae macho
na mapopoMabundi hawajalalaa
Mume hujarudi mpaka sasa huo usingiz ntautoa wapi?Mamii shida nini!
Naona nawewe popo ndio kumekuchaMabundi hawajalalaa
Hizi ndoa jamani mbona mabachela wanatengenezewa fursa wazi wazi[emoji23] [emoji23], Upekwe ukizidi just lemme know,We [HASHTAG]#Ngoda[/HASHTAG] shemeji yako hajarudi nyumban mpaka saiziMume hujarudi mpaka sasa huo usingiz ntautoa wapi?
mwenzio yupo gest flan kalala we mpaka sasa macho kodoMume hujarudi mpaka sasa huo usingiz ntautoa wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizi ndoa jamani mbona mabachela wanatengenezewa fursa wazi wazi[emoji23] [emoji23], Upekwe ukizidi just lemme know,We [HASHTAG]#Ngoda[/HASHTAG] shemeji yako hajarudi nyumban mpaka saizi
Naona nawewe popo ndio kumekucha
Mume hujarudi mpaka sasa huo usingiz ntautoa wapi?
Acha kuniumiza roho, itakuwa kawekwa lockup atarudi asubuhimwenzio yupo gest flan kalala we mpaka sasa macho kodo
Pepo shindwaaaaaa![emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo la kakaangu nae ananibania fursa balaah nashindwa kujilipua
Nahis kuna rushwa imetembea
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nimeamshwa mie.. Anataka kulala kifuani atii.. Kashindwa kulala anaumwa kichwa leo
Eeh bado ananyonya [emoji23]Nimeamshwa mie.. Anataka kulala kifuani atii.. Kashindwa kulala anaumwa kichwa leo
kwa hiyo sasa umemuweka kifuaniNimeamshwa mie.. Anataka kulala kifuani atii.. Kashindwa kulala anaumwa kichwa leo
Vibaya mkuu mi na wew tumetoka mbali sana,iweje ushindwe kunipa mdgo wako nimsitiri?Pepo shindwaaaaaa![emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ukweli mchungu aiseeh mume anauma na ni ngumu kukubali arudi tuu hata aniambie alikanyaga mdudu poteza roho itafarijikaKuna mtu anakula kwa nakshi mwenzangu.. Jipangee
hahaha anakula commission huyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo la kakaangu nae ananibania fursa balaah nashindwa kujilipua
Nahis kuna rushwa imetembea