JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Aisee keshalala nazani zali lako apo
Wewe jamaa unanichuza wewe.
Ngoja tumu alert akija ujue yupo. Leo nakesha naye hapa manake mchana alikuwa anakunywa kahawa sikujua ana maana gani. Kumbe leo yupo na mimi.
Aisee huyu mtoto ananipenda sana sikukosea kumpa moyo wangu.
 
Wewe jamaa unanichuza wewe.
Ngoja tumu alert akija ujue yupo. Leo nakesha naye hapa manake mchana alikuwa anakunywa kahawa sikujua ana maana gani. Kumbe leo yupo na mimi.
Aisee huyu mtoto ananipenda sana sikukosea kumpa moyo wangu.
Simuoni au wewe unamuona usingizi haumuachi mtu salama ujue
 
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmoja wapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nn kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11Asbh. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua nakunywa maji na kwenda kukojoa tu mpaka kukuche!
[emoji32][emoji32][emoji121]
 
Back
Top Bottom