KOKUTONA
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 8,651
- 6,104
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe jamaa unanichuza wewe.Aisee keshalala nazani zali lako apo
Umepotea mno kwema lakini?
Waleikum salaam.
Simuoni au wewe unamuona usingizi haumuachi mtu salama ujueWewe jamaa unanichuza wewe.
Ngoja tumu alert akija ujue yupo. Leo nakesha naye hapa manake mchana alikuwa anakunywa kahawa sikujua ana maana gani. Kumbe leo yupo na mimi.
Aisee huyu mtoto ananipenda sana sikukosea kumpa moyo wangu.
MmmhWaleikum salaam.
Hivi kina manga wameshawahi kuku flirt?
( manga angalia usalama huko Inna akija nibeep) nikaushe.
Nitazuga kuwa nilikuwa namuelekeza kitu
Vizuri sana natumai saa hii wamelala tuleani wenyewe
Yes. Wamelala nami nautafuta usingizi sasaVizuri sana natumai saa hii wamelala tuleani wenyewe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] naona unawaigiliziaUsimwambie aisee.
Hii ndio roho yangu. Mengine ni maigizo tu ya kufurahisha jukwaa. Ila huyu ni kwenye real life sio hapa Jukwaani tu. Tupo nje ya box ujue
Ngoja ni CC kama smart na mahonda
Cc@inna
Ohoooo nimesema leo mpk kokorikoooo[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102]Simuoni au wewe unamuona usingizi haumuachi mtu salama ujue
Haya mrudi huku naona ushilawadu haujawaacha salamaWaleikum salaam.
Hivi kina manga wameshawahi kuku flirt?
( manga angalia usalama huko Inna akija nibeep) nikaushe.
Nitazuga kuwa nilikuwa namuelekeza kitu
Simuoni au wewe unamuona usingizi haumuachi mtu salama ujue
[emoji32][emoji32][emoji121]Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmoja wapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nn kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11Asbh. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua nakunywa maji na kwenda kukojoa tu mpaka kukuche!
Tutafute wote basiii
Nilishtoka ila ya kule yamekua mazito hivi imekuaje kwaniHaya mrudi huku naona ushilawadu haujawaacha salama
Ohooo kule kuzito naona Ivuga bado anajifanya yuko yuko na ameshapewa za usoNilishtoka ila ya kule yamekua mazito hivi imekuaje kwani