Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhhHali yenyewe km hii kweli usingizi utokee wapi?
Umewah jiuliza kwann watu wanashutuka usiku na usingiz unaisha kbs?Unafurahi???
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Nje kuna walinzi, sasa sitaki lawama mje teh teh teh[emoji87]Msubiri hapahapa naenda kumuita.
Hapo huwez lala[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hali yenyewe km hii kweli usingizi utokee wapi?
Usinitag tag tena.Mambo poa....nmekumiss tu
Inna. Pole rafiki.Saint Ivuga , ipogolo, behaviorist mmesema tukutane humu alafu siwaon
Wewe vipi,ndo unaamka saa hizi???Mzigo wako nimewaona akina fulani wakiiba usiku wa manane![emoji23] [emoji23] [emoji23]Usinitag tag tena.
Kwanza nishushe ununio
Hahahaaaa unalala sana babeUsinitag tag tena.
Kwanza nishushe ununio
Inna Huyu mtu alikuita single mother juzi.Wewe vipi,ndo unaamka saa hizi???Mzigo wako nimewaona akina fulani wakiiba usiku wa manane![emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa tuliopo nje ya huku duniani ni usiku...Jamani muda umeisha huu sio usiku wa manane tena!
Nyagei nilikuwa natengeneza mtoto. Samehe mmNamtafuta jje's please atakayemuona anijuze
haya nichum basi kipenziWe unajua kabsa huyo ni hater wako alafu unamsikiliza
haya nichum basi kipenziNyagei nilikuwa natengeneza mtoto. Samehe mm
Jesus is my saviour and a friend