aikaruwa1983
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,398
- 1,500
washamaliza homework zao haoooo
duh ndugu wengine ndio kumekucha nasubiri kupokea usukani kama km 300 kutoka sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
washamaliza homework zao haoooo
mshana jr ndo kakufundisha sio? mie ukinifundisha wewe ndo nitaelewa harakaNgoja nkuitie mtu akupe utaalam ..mshan unamjua
Ha ha haaaa bora umelijua hilo[emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyu itakuwa anakuja mida ya wanga na popo sugu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji3] [emoji3] pole ndo maleziSitak kuamin ishagonga saa7 lkn huyu mwanangu leo kisiran kimeamka jicho angavu na hatak kuwekwa chin ni full kubembeleza mikono yng kaigeuza bembea...
Wewe sio mkeshaji siku hizi mana hata saa nane hufiki
Me bdo kuna vitu sijaelewa vizur so better mwenyew akufundishe uelew vzrmshana jr ndo kakufundisha sio? mie ukinifundisha wewe ndo nitaelewa haraka
Hahahh kumwaga uno wakat wa kumtafuta raaaha lkn kukesheshana huku kulea ni raha zaid[emoji3] [emoji3] pole ndo malezi
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Twende jirani
Popo sugu ndio wanaingia viwanja.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] afadhali kama umelijua hiloHahahh kumwaga uno wakat wa kumtafuta raaaha lkn kukesheshana huku kulea ni raha zaid
Hafu mbona ndugu simuoni siku hizi?Kwakua me ndo sugu eee[emoji23] [emoji23]
Mmmh nasikitika sana kusema soon ndugu yangu hataweza kuonekana pande hiziHafu mbona ndugu simuoni siku hizi?
Pole mkuu watoto wana visa sana wakiamua ha ha haaaSitak kuamin ishagonga saa7 lkn huyu mwanangu leo kisiran kimeamka jicho angavu na hatak kuwekwa chin ni full kubembeleza mikono yng kaigeuza bembea...
Ndugu yako yupi ? Kapatwa na nini ? Pole mkuuMmmh nasikitika sana kusema soon ndugu yangu hataweza kuonekana pande hizi
Kama anasinzia vile nkijaribu kumlaza tu anafungua jicho kazi inaanza upya...Pole mkuu watoto wana visa sana wakiamua ha ha haaa
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Mmmh nasikitika sana kusema soon ndugu yangu hataweza kuonekana pande hizi
sawa!! ukivielewa vizuri ni pm mkuu nije unipe darasaMe bdo kuna vitu sijaelewa vizur so better mwenyew akufundishe uelew vzr
Kuna watoto wabishi hatari unaweza kuta wazazi wanataka kufanya yao ndo anakurupuka inabidi muwe wapole.Pole mkuu watoto wana visa sana wakiamua ha ha haaa
Kwan we ulimuulizia nani?[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Yupi huyo?
Majukum yamembana analea kibendiNdugu yako yupi ? Kapatwa na nini ? Pole mkuu