JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Poa kabisa mkuu"""vitanda vina kunguni ngoja tuwe mapopo
Bora kungekuwa na kunguni ningevumilia, godoro langu lililowa banah nikalitoa nje asubuhi walau lipate jua nikajisahau kwenda kwenye kutafuta riziki huku nyuma mvua ikanyesha, sasa godoro chepechepe nimejuta sana bora unyevu wa kojo kulikoni utepe wa mvua nitalalaje leo mie [emoji26][emoji26]
 
Bora kungekuwa na kunguni ningevumilia, godoro langu lililowa banah nikalitoa nje asubuhi walau lipate jua nikajisahau kwenda kwenye kutafuta riziki huku nyuma mvua ikanyesha, sasa godoro chepechepe nimejuta sana bora unyevu wa kojo kulikoni utepe wa mvua nitalalaje leo mie [emoji26][emoji26]
Pole sana mkuu kwa maswahibu yaliyokupata [emoji260][emoji260][emoji260]
Njoo tukeshe hapa tuchat kusikojulikana
 
Back
Top Bottom