Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,380
- 31,566
Umeona eeh..........maana wanaume wenyewe wa humu wote walikuwa wamelala fofofoBora hata maana tungevamiwa, si jambo jema kulala geti wazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona eeh..........maana wanaume wenyewe wa humu wote walikuwa wamelala fofofoBora hata maana tungevamiwa, si jambo jema kulala geti wazi
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Hahahhahahaha naona unataka kutumia fursa
[emoji102]
[emoji7] kukuonaUmeona eeh..........maana wanaume wenyewe wa humu wote walikuwa wamelala fofofo
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Niliishtukia hiyo janja ya nyani
Sina cha kueleza kwa furaha ya kukuonaAsante kwa kunimiss mwaya, soi kama Nleterewa Nganengo aliyefurahia kutokuwepo kwangu...........
[emoji125] [emoji125] [emoji125]We popo.............ndo maana siku ile mkatuachia geti wazi; wewe na mwenzio Kichwa Kichafu
Nani huyo[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hivi unakumbuka kesi inayokukabili?
Karibu uwanjani............[emoji7] kukuona
Na sikumbuki nini kilitokeaHebu muulize walienda wapi?
Na kwanini waondoke paap kwa pamoja wakaacha geti wazi? (Mimi sijauliza kitu)[emoji40] [emoji125]
[emoji23]Hilo swali atalijibu Kichwa Kichafu,maana bibie anadai hakumbuki kabisa kilichotokea...........alijikuta tu kalala fofofo
Jirani umerudi nije kukusalimia??
Wewe hapoNani huyo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Asante japo napitaKaribu uwanjani............
Anza kumhoji Kichwa Kichafu kajileta leo[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Bibie huu uchochezi sasa[emoji39] [emoji40]
Niko hapa bibie, sema Leo naona bawaba za macho zimelegea sana[emoji42]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wewe hapo