JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmoja wapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nn kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11Asbh. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua nakunywa maji na kwenda kukojoa tu mpaka kukuche!
Hahahahha nijo kazini mzee nawataftia watoto msosi
 
Duh! Nilijua wote tuko Shanghai samahani[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Usinikumbushe mbali, pale kwenye lile dude la posta nilinyeshewa mvua kubwa sana hadi nilikoma. Sipendi kukumbuka hiyo siku!
 
62e81a3d00a0a07be72858904ff2299b.jpg
utasema huu sio mstelingi wa gari.
Haahahaha we jamaaa
 
leo sina bando la kupakua series,ntaawacha wadau muwe na usiku mwema
 
Back
Top Bottom