Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,805
- 15,529
Nimeshangaa na mimi imekuaje leo?Hahahah! Nleterewa Nganengo kaniita kuku kisa nimefungua geti muda wa kulala kuku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshangaa na mimi imekuaje leo?Hahahah! Nleterewa Nganengo kaniita kuku kisa nimefungua geti muda wa kulala kuku
Kiaje kwani ntu na shem wake kuna mipaka hasa mhusika akiwa hayupo?Siwaelewi mtu na shemeji yake..........
Tuone na wadau wwngine watasemajeHahahah! Basi sawa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Unamaneno matamu ni vile tu unamwambia mwenzio teh yeh
Siwaelewi mtu na shemeji yake..........
Embu fafanua hiyo kauli yako kama inautata fulani hiviKiaje kwani ntu na shem wake kuna mipaka hasa mhusika akiwa hayupo?
Nimeuliza tu kwani mashemeji wadhuriana?Embu fafanua hiyo kauli yako kama inautata fulani hivi
Toa maelezo kamili sijakuelewa mieNimeuliza tu kwani mashemeji wadhuriana?
Mana nijuavyo ni vilevile tu
Popoooooz, mpo!
Itakua mana si kwa upotevu huu ha ha haaNipo kwenye ujenzi wa taifa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]