JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Duuuh huyu jiran ni huyu huyu ama mwingine. Mbona ana majirani wengi sana? Au ni jiran kiwilaya, wengine kimkoa, wengine kinchi na wengine kihouse?[emoji12] [emoji12] [emoji38]
Nauliza tu
Hahahaha jirani yangu kumbe ana majirani wengine japo mimi jiranj yake naona nyumba 1[emoji16][emoji16]
 
Poa poa mkuu.


Nleterewa Nganengo naona ndio unaingia msalimie Thad
Hahaha mkuu leo hizi balimi nilizokunywa sijui zimechanganywa na sifongo, siioni vizuri keyboard ndo maana unaona na- like napita[emoji40]
Thad kwakweli tokea umwonjeshe ile offer amekua akiondoka bila kuaga kila mara[emoji42] [emoji125]
 
Back
Top Bottom