JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Jana nasikia haujalala kuhofia maji kuingia ndani
Bwana wee ...nilikesha bure,mwisho wa siku yaliingia ndani godoro hapa lipo nyang'a nyang'a naomba tukeshe wote siku hizi mbili hadi kijigodoro changu kitakapo kauka [emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
Nisamehe rafiki yangu ujue shemeji yangu kama vile aliniruhusu indirect way [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikaona nisimuangushe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] haya bwana....ntu na shemejie
 
Leo nipo free sana, tungekesha wote but siko vizuri Malaria inanisumbua, hata hivyo nitawasupport hadi mida mida
Then we mbaya[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] matikiti umeona kule umeyaleta hapa[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Wewe kiboko umejua kunichekesha leo, nikaona isiwe tabu nitakubamba tuu kipande hiki
 
Bwana wee ...nilikesha bure,mwisho wa siku yaliingia ndani godoro hapa lipo nyang'a nyang'a naomba tukeshe wote siku hizi mbili hadi kijigodoro changu kitakapo kauka [emoji134] [emoji134] [emoji134]

Dah! Pole sana, hatukeshi wote ila tunakua macho huku tunawasiliana kwa simu. Kukesha wote itakua ntihani yakheeeee! Kwani bado unamuogopa bawa?
 
Nilidhani hali ya hewa ya leo wengi wenu mtakuwa kwenye mikumbato style [emoji4][emoji4]
b46bdf0cd04112999b73d832ba7343e3.jpg
 
Dah! Pole sana, hatukeshi wote ila tunakua macho huku tunawasiliana kwa simu. Kukesha wote itakua ntihani yakheeeee! Kwani bado unamuogopa bawa?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Basi sawa ngoja vidole vyetu vizungumze huku macho yakishuhudia;pole kwa midomo na masikio maana havina nafasi hapa.

Mond keshasema bawa ni zilipendwa kwahiyo siogopi tena,Nleterewa Nganengo alinitisha bure[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
But nilichogundua watu wengi hawaamini yaliyowakuta wenzao, nimeongea ukweli mtupu lakini bado watu hawaamini, Ok
Mie nilikuwa nacheka unavyopangua maswali ya wadau polite and clear ahahahaaaaaa, hata hivyo mie huwa niponipo tuu chochote nikisikiacho huwa nachukulia kama story tuu nikiweza nacheka nikiweza nasikitika huwa sitakagi kujua kama ni uongo au ukweli [emoji4]
 
Mie nilikuwa nacheka unavyopangua maswali ya wadau polite and clear ahahahaaaaaa, hata hivyo mie huwa niponipo tuu chochote nikisikiacho huwa nachukulia kama story tuu nikiweza nacheka nikiweza nasikitika huwa sitakagi kujua kama ni uongo au ukweli [emoji4]
Ok, lakini hujanijibu swali langu, au nije PM
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Basi sawa ngoja vidole vyetu vizungumze huku macho yakishuhudia;pole kwa midomo na masikio maana havina nafasi hapa.

Mond keshasema bawa ni zilipendwa kwahiyo siogopi tena,Nleterewa Nganengo alinitisha bure[emoji2] [emoji2] [emoji2]

Naamini leo hakuna hofu ya mvua tena
 
Back
Top Bottom