Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,380
- 31,566
Wapi huko nikakutembeleee....Ndo ivo yani, afu uku nilipo nimewaacha masaa mawili ko kwenu inakuwa ni usiku wa wanga na wanandoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi huko nikakutembeleee....Ndo ivo yani, afu uku nilipo nimewaacha masaa mawili ko kwenu inakuwa ni usiku wa wanga na wanandoa
Kwakweli mimi sio mrembo,bali ni ajuza..[emoji126] [emoji126][emoji15] [emoji15] [emoji15]
Hao ndo warembo? Hebu wajitokeze wathibitishe pasipo shaka[emoji85]
Hahaha uzoefu tu komredaisee, kwa namna hiyo inabid ungepewa kazi kitengo cha habari ikulu maana unaandika meseji vizuri hivo na bado unadai huoni,
cc;tz president
Litakua limeonja balimi na bombadia za kutosha[emoji6]Leo jukwaa limechangamka kweli yan hadi raha
bas sawa, mim ngoja nisign outHahaha uzoefu tu komred
Denmark Odense, nikupe Adress uje?Wapi huko nikakutembeleee....
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji12][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hakika sikuwezi, kiboko yako ni mshiki wangu tu kwa kumteka mwanamichezo mwenzake The Hunter[emoji6]
Hahaha nasubiri akujibu, ila hujajibu kama na wewe ni mmoja wao ujue[emoji85]Usiogope ni list za warembo tu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ain't you beautiful?
Maskini baby mwenzangu....nasikia wamemfanyia noma magogoni kwakeHahahaha nitetee basi, kama nasalimiwa na umri huu nikifika kama wa Mughabe si ndo itakua kasheshe[emoji85]
Hujawahi kinieleza ni bakora ipi anakufundishia huyu kaka yangu, sisi michezo yetu ni very unique and healthy and more important good about the michezo is confidential[emoji12]Hivi ana ile bakora anayoisemaga Nganengo?
Hapana,ndo tumeamka [emoji23] [emoji23]mshalala?
Hahaha wewe bila hata limbwata nshakugaia moja, Mwalimu ni kiunganishi cha Mungu na Mzazi siku zote[emoji39]Bilashaka kwa 900 itapendeza zaidi....
Ukishazinunua unambie nikutafutie limbwata ili unihonge japo kajumba kamoja [emoji12] [emoji12]
Duuuh si kwa kunizunguka huku[emoji38] [emoji12]Basi mnialike tu twende wote nikawe ripota wa popoz huko
Haitadhuru![emoji15] [emoji15] [emoji15]
Kama ndo ivyo itabidi tualike wachungaji na mashekhe wa kutosha[emoji40]
Itapendeza zaidi
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hivi ana ile bakora anayoisemaga Nganengo?
Unaona raha kunivuruga kwa kunitajia hizi vitu wakati nina kiu ya siku 2Litakua limeonja balimi na bombadia za kutosha[emoji6]
aisee mi nimetoka nje kabisa niko barazaniHapana,ndo tumeamka [emoji23] [emoji23]