Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,380
- 31,566
[emoji23] [emoji23] [emoji23] bilashaka haitadhuru..Hahaha wewe bila hata limbwata nshakugaia moja, Mwalimu ni kiunganishi cha Mungu na Mzazi siku zote[emoji39]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] bilashaka haitadhuru..Hahaha wewe bila hata limbwata nshakugaia moja, Mwalimu ni kiunganishi cha Mungu na Mzazi siku zote[emoji39]
Tunaogopa kukutana na mgeni mtata ila unaweza kuja tu nauli utaikuta [emoji2] na ivi jotoridi ni 3° ukija itapendeza[emoji23] [emoji23] [emoji23] nasikia ndo mkakati wenu siku hizi,tukiwaomba nauli mwesema kopa ukifika nitakurudishia
Karibu chamaniPopoziiiiiiii
Hizi mbinu walizokuja nazo tutatunga za kwetu[emoji12] [emoji38][emoji23] [emoji23] [emoji23] nasikia ndo mkakati wenu siku hizi,tukiwaomba nauli mwesema kopa ukifika nitakurudishia
Hahahaha aisee Leo sio bure kuna kitu mmetumia sio kwa mashambulizi haya[emoji40] [emoji125]Unajua nilihamaki hivyo maana na hizo balimi ulizopiga usije nikosea adabu na kunipigia psyiiii ukifikiri mimi sio dada ako.
Balimi sio za kisport mkuu so tahadhar lazima nichukue.
Huoni hapa ushasahau kama mimi ni dadako unataka majibu kutoka kwa watu?[emoji38] [emoji85]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ina maana nimekuwa mchochezi kukuzidi wewe mwl.wangu?[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kweli kwenye uchochezi utakua umefika level ya Concord Proffeseri , hata ukipimwa mkojo hautaonyesha[emoji85] [emoji125]
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Hahahaha aisee Leo sio bure kuna kitu mmetumia sio kwa mashambulizi haya[emoji40] [emoji125]
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Eeeeh! Naomba uniazimishe huyo mwalimu wako kwa siku 3 tu ili nijue kama anamzidi uwezo mwalimu wangu [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Mtuhurumie tu, na sisi ni binadamuHizi mbinu walizokuja nazo tutatunga za kwetu[emoji12] [emoji38]
[emoji15] [emoji15]Unaona raha kunivuruga kwa kunitajia hizi vitu wakati nina kiu ya siku 2
Kwakweli balimi hazina tabia ya kusahaulisha mtu,huyo atakuwa amekunywa mbege...[emoji4] [emoji4]Unajua nilihamaki hivyo maana na hizo balimi ulizopiga usije nikosea adabu na kunipigia psyiiii ukifikiri mimi sio dada ako.
Balimi sio za kisport mkuu so tahadhar lazima nichukue.
Huoni hapa ushasahau kama mimi ni dadako unataka majibu kutoka kwa watu?[emoji38] [emoji85]
Hahahaha mshiki huu uchochezi wako unakua kwa kasi sana ujue[emoji40] [emoji125]Mlipitia na Mkuu Thad kabla hamjatia timu eeeh
Halafu mnajidai kuuliziana et umenionea wapi Nganengo
Duuh hizi siri zenu zitawaumbua siku moja
Cc.
Thad
Utakuwa umenifananisha...sio mimi kabisa.[emoji12] [emoji12][emoji15] [emoji15]
We si kuna Uzi ulikua unashusha neno la Mungu na kutamba umeokoka[emoji40]
Kweli jasiri haachi asili
Ooohooo! Mwl.wangu tafadhali nifichie hii aibu [emoji4] [emoji4][emoji15] [emoji15] [emoji15]
Hakika huyu mwanafunzi wangu ni wakipekee, kinachonifurahisha anapenda vitendo kuliko nadharia[emoji6]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]Hii michezo tunayofanya kama una i feel positively lazima afya ipige hodi my kaka.
You said well[emoji38] [emoji12]
Aisee laa kucha mshiki[emoji42] [emoji42]Winderful people acha niegeshe hizi mbavu
Love you all and sleep well
Naomba uniote mamy, ili nami nionje ladha ya kuotwa....maana sijawahi isikia tangu nizaliwe [emoji23] [emoji23] [emoji23]Winderful people acha niegeshe hizi mbavu
Love you all and sleep well
Itabidi tuandae kikao cha dharura kwaajili ya kujibu mashambulizi [emoji12] [emoji12]Hizi mbinu walizokuja nazo tutatunga za kwetu[emoji12] [emoji38]