JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Kina 50 cent walisha sema toka zamani, kuwa p Diddy sio mtu mzuri.

Angalia alivyo kuwa ana mtreat cassie, Kama Malaya aisee.

Kesi ya Tupac nayo Ika fukuta upya, Ika semekana yeye ndo ali mlipa muuaji.

sema asinge kuwa na hela, ange ozea jela, maana private jet ndo ime msaidia kukimbia.

Picha za CCTV zili onesha mwamba ana wasiwasi kinyama
Round hii hachomoki kabisa
 
mpenz shadow, dad ang to yeye kidoti, rafik angu hope, babu yang G, jiran yangu mandala na shemej yangu V, nawashukur jamn kwa uwepo wenu kwang kwa hiz sik mbili tatu for sure napata amani mnooo nikiwa humu kuliko ninapo kuwa mtaani[emoji17] am going through alot kweny akil yangu ilaa mmekua faraj kwang bila ninyi kutambua

Mungu awalinde na aendelee kuwatunza kwa ajir yang na familia zenu..... leo nawaacha mapema maan kichwa chang hakip saw ila nawasihi tuzidi kupendana na kuombeana kheri
tuonane kesho panapo majaliwa: Let show love while we still alive not in death all for love[emoji3590]......

mshamba, half america na member wote muwe na usik mwema
 
mpenz shadow, dad ang to yeye kidoti, rafik angu hope, babu yang G, jiran yangu mandala na shemej yangu V, nawashukur jamn kwa uwepo wenu kwang kwa hiz sik mbili tatu for sure napata amani mnooo nikiwa humu kuliko ninapo kuwa mtaani[emoji17] am going through alot kweny akil yangu ilaa mmekua faraj kwang bila ninyi kutambua

Mungu awalinde na aendelee kuwatunza kwa ajir yang na familia zenu..... leo nawaacha mapema maan kichwa chang hakip saw ila nawasihi tuzidi kupendana na kuombeana kheri
tuonane kesho panapo majaliwa: Let show love while we still alive not in death all for love[emoji3590]......

mshamba, half america na member wote muwe na usik mwema
Nawe pia kipenzi enjoy life kwenye shida funguka
 
Back
Top Bottom