Jana na leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jana na leo
Naskia ulimuombea dua aende kifungonianakusalimia sana
😂😁😁Naskia ulimuombea dua aende kifungoni
Jana na Leo 😘😘😍✌️✌️
we ulisiika wapi ulisikia wapiNaskia ulimuombea dua aende kifungoni
😁😂😁😂😂😂we ulisiika wapi ulisikia wapi
Niliona uliandika ukafuta ukaandika tena ukafuta😂we ulisiika wapi ulisikia wapi
😁😂😁😁Niliona uliandika ukafuta ukaandika tena ukafuta😂
nimeamini wabaya ni watu majini wanatumwa tu mweeeNiliona uliandika ukafuta ukaandika tena ukafuta😂
Uzuri me rafiki yake, akirudi simfichi kitunimeamini wabaya ni watu majini wanatumwa tu mweee
nimezoea hiyo, unakumbukua ulikua hujafanya kitu unasikia "baba linakutukana linasema wewe shakira tu" sameja unastaafu na ukali wako😂😂😂😂😂😂😂😂Uzuri me rafiki yake, akirudi simfichi kitu
😁😂😂😂😁😁😁😁Uzuri me rafiki yake, akirudi simfichi kitu
Haha jamaa angekua kule saivi angekua mahabusu ni mwendo wa visiki tu na taili MP wangekua wamemshikilia kweli kwelinimezoea hiyo, unakumbukua ulikua hujafanya kitu unasikia "baba linakutukana linasema wewe shakira tu" sameja unastaafu na ukali wako😂😂😂😂😂😂😂😂
Cha mno nini nisije nikakata moto bure 😎00:00 in advance