Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Haya haya kumerauka
05:47
05:47
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa jinsi alivyoniomba msamaha usiku imebidi nimsamehe tu
🤣🤣🤣🤣 morning broGood morning Mjukuu 🤗
Muda wa kuaga ule🤣Poa mkuu vip hali
Muda umefika?
No kuna kitu kilinikeep busy bro
Walikuandama sana mtoto wa General ilibidi uniiteLeo mnanikimbiza mapema sana mlinzi mimi jamani![]()
![]()
Polee🤣🤣🤣mi nimekuwa mchovu sikuhizi
Salama Mwamba...😉Poa mrembo unaendeleaje?
Asante sanaPolee
Poa poaHahahahaha,salama kabisa
Poa vip rafiki...hope umeamka salamaMambo rafiki yangu
PamojaMM na wewe tena yan hapa kamiss Chizi Maarifa na Mzee wa kupambania
😂 kivipi mkuuFake P utaua vijana wa watu😂🙌
Ni fursa hiyo kwa kilimo cha watu.Yaani yale manyunyu, ghafla ikaanza kama masikhara.
Ila raha sana ....
Pole sana mama, baridi kuna muda hata ujifunike blanket 10 bado linapenya. Kuna kipindi niliishi Arusha ilikuwa ni balaa, baridi haizoeleki muda wote ni kubebana na makoti.Mwaka juzi june nlikua marangu, aseee ile baridi....ngiri nje nje, blanket 2 ila bado ni baridi hapana aseee
We si ni luteni kanalisameja Shadow7 alikua mkuu wangu