Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hpa nilisahau
Hapo sawa kidogo nishtukebeiby[emoji2960] ni zamani mno kabla sijakutana na wew bt now umenikeep busy plus mambo yako mazitooo sipat mda wa kwend kule
Nakufundisha nidhamu ya kuwajulia hali watu unasema unabe?Hpa nilisahau
Fake P
Tajiri
Tajiri afrika na mashariki ya kati umeamkaje
πππππππππ
Huu unafiki wa kiwango cha lami nafundishwa na hii kuku Half american ππππππππππππ
Sawa nimekuelewa vya kutosha mkuu πππππππππππNakufundisha nidhamu ya kuwajulia hali watu unasema unabe?
Haya samilia tajiriSawa nimekuelewa vya kutosha mkuu πππππππππππ
Fake P habari yako tajiriHaya samilia tajiri
Tajiri atakuwa kanisani, na leo yeye ndie mgeni rasmi amekaa siti za mbele peke yake, baada ya siti alizokaa zimevukwa siti 5 zipo empty hazijakaliwa ili asipate usumbufu.Fake P habari yako tajiri
Hii aiseee kali....Tajiri atakuwa kanisani, na leo yeye ndie mgeni rasmi amekaa siti za mbele peke yake, baada ya siti alizokaa zimevukwa siti 5 zipo empty hazijakaliwa ili asipate usumbufu.
Ndo hapo sasa wakati raha ulisikia kunizidiπ³pole kusex?
Wapumzike kwa amaniTarehe kama ya leo mwaka 1994 ,vikosi vya RPF vinavamia Rwanda na kuwa mwanzo wa mauji ya Kimbari ...Tuwakumbuke jirani zetu..ndugu zetu na Marafiki zetu
Leo analindwa na MunguHii aiseee kali....
Sema naskia leo alitoka na gari private yeye kama yeye au alikua na bodyguard mkuu
π AmenWapumzike kwa amani
Bora umeuliza πHiyo kiss unataka unifanye nini kwani?
Kwenu mlikua na hela! Mlimiliki hadi tvBaba alianza kusema ongeza sauti ya redio ...ilikua usiku wa tarehe 7 mwezi April mwaka 1994 ..tukiwa tumekaa nyumbani tukitazama TvZ movie ya kihindi..ndipo redio inakatangaza juu ya ajali ya ndege iliyowabeba maraisi wawili wa Burundi na Rwanda....
Nikiamka nitaendelea
Salama mkuu umeamkaje?8:48 AM habari za asubuhi
Hahahahaha..94 mbn tv nyumba nyingi tu walikua nazo ?Kwenu mlikua na hela! Mlimiliki hadi tv
Hiyo story nimegundua inakuhusu.....