JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Karibuni dagaa na samaki wakuu, Nina Jamaa zangu huwa Wana kuja nitembelea home.

Sasa wame kuja Kama vita, kwanza wame Kaanga dagaa ndooo ndogoπŸ˜€πŸ€£.
Samaki wame ungwa na nyanya chungu za kutosha.

Huo ugali ni vitasa🀣🀣🀣, nipo napiga na maziwa, story kwa wingi.
 
Karibuni dagaa na samaki wakuu, Nina Jamaa zangu huwa Wana kuja nitembelea home.

Sasa wame kuja Kama vita, kwanza wame Kaanga dagaa ndooo ndogoπŸ˜€πŸ€£.
Samaki wame u vwa na nyanya chungu za kutosha.

Huo ugali ni vitasa🀣🀣🀣, nipo napiga na maziwa, story kwa wingi.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kama hakuna nazi achana na mimi
 
Mnaalikana wali samaki usiku huu nyiewanaume?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Khaaa kasema ugali...
Weee ant mbona unataka kukuza mambo jamni πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Kwanza ushamaliza kunaniliuuuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom