JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Huu uzi zamani tuliutendea haki sisi wakongwe wa usiku wa manane. Ilikuwa ikifika alfajiri tunafunga geti tunahamia pengine. Ila nyie mmekuja hapa kuharibu mantiki ya huu uzi mnapiga kelele zenu tu huko kulana kimasihara na ujinga mwingine.

Sheenz, malparida.

Maghayo We ni umbwa
kuwa na adabu kijana by the way kwani hili jambo linakupa ugali au wali..?? kama halikupi mbona unawashwawashwa..?😂
 
Huu uzi zamani tuliutendea haki sisi wakongwe wa usiku wa manane. Ilikuwa ikifika alfajiri tunafunga geti tunahamia pengine. Ila nyie mmekuja hapa kuharibu mantiki ya huu uzi mnapiga kelele zenu tu huko kulana kimasihara na ujinga mwingine.

Sheenz, malparida.

Maghayo We ni umbwa
Sio lazima u diss watu ili usi kike, halafu kupangia watu la kufanya, ume Anza lini hizo pigo za kike??
 
Sa ngapi huko? Mkongwe unawivu wa kike seeenz

🤣🤣🤣🤣Wivu utamuaa

Pole 😁


kuwa na adabu kijana by the way kwani hili jambo linakupa ugali au wali..?? kama halikupi mbona unawashwawashwa..?😂

Sio lazima u diss watu ili usi kike, halafu kupangia watu la kufanya, ume Anza lini hizo pigo za kike??
Mbusii. Umbwaaa. Maghayo Wewe mgerasi ni nyau
 
Back
Top Bottom