To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Sawa...no problemaAhsante sana mkuu. Leo utokee sasa🙄😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa...no problemaAhsante sana mkuu. Leo utokee sasa🙄😁
kuwa na adabu kijana by the way kwani hili jambo linakupa ugali au wali..?? kama halikupi mbona unawashwawashwa..?😂Huu uzi zamani tuliutendea haki sisi wakongwe wa usiku wa manane. Ilikuwa ikifika alfajiri tunafunga geti tunahamia pengine. Ila nyie mmekuja hapa kuharibu mantiki ya huu uzi mnapiga kelele zenu tu huko kulana kimasihara na ujinga mwingine.
Sheenz, malparida.
Maghayo We ni umbwa
Sio lazima u diss watu ili usi kike, halafu kupangia watu la kufanya, ume Anza lini hizo pigo za kike??Huu uzi zamani tuliutendea haki sisi wakongwe wa usiku wa manane. Ilikuwa ikifika alfajiri tunafunga geti tunahamia pengine. Ila nyie mmekuja hapa kuharibu mantiki ya huu uzi mnapiga kelele zenu tu huko kulana kimasihara na ujinga mwingine.
Sheenz, malparida.
Maghayo We ni umbwa
sio lazima no type type😁😂, sometimes Niko naangalia dorice amore ya ki philiphino😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa Mr mbona mida ya kuumua mchanganyiko,wewe Ulikuwa umelala fofofo?jobless unalala Kwa usingizi Gani?
Mmmh Kwa mahaba Gani🙄?kataa ndoa mkubwa wewe,mambo ya Philippines tuachie wapenda ndoa😁sio lazima no type type😁😂, sometimes Niko naangalia dorice amore ya ki philiphino😁
Sa ngapi huko? Mkongwe unawivu wa kike seeenz
🤣🤣🤣🤣Wivu utamuaa
Pole 😁
Aisee
kuwa na adabu kijana by the way kwani hili jambo linakupa ugali au wali..?? kama halikupi mbona unawashwawashwa..?😂
Mbusii. Umbwaaa. Maghayo Wewe mgerasi ni nyauSio lazima u diss watu ili usi kike, halafu kupangia watu la kufanya, ume Anza lini hizo pigo za kike??
Hamna, mi napenda series na movie, so naangalia kwa furaha tu😁.Mmmh Kwa mahaba Gani🙄?kataa ndoa mkubwa wewe,mambo ya Philippines tuachie wapenda ndoa😁
😳Sasa mu mpende nani anayetaka Mtu asiyemuoa?Hamna, mi nape da series na movie, so naangalia kwa furaha tu😁.
And beside kwani kataa ndoa hatu pendi?? 😁😁
Umbwa, biaatchYa kulaumiwa ni serikali ya CCM,vijana mmekuwa na sitiresi sana
Wapo watu wasio amini katika ndoa, kitaalamu tuna waita "misogamist"😳Sasa mu mpende nani anayetaka Mtu asiyemuoa?
Ila wanaamini katika mapenzi?Wapo watu wasio amini katika ndoa, kitaalamu tuna waita "misogamist"
Koroga hata kauji unywe bro hiyo Hali unayoisikia sio nzuri Kwa afya yakoUmbwa, biaatch
Yeah, na ni Watu Poa sana ila ndo hivyo ndoa huwa ambii kitu 😁Ila wanaamini katika mapenzi?
I don't fnck bitches pleaseKoroga hata kauji unywe bro hiyo Hali unayoisikia sio nzuri Kwa afya yako
Unaona Sasa maluweluwe?jitahidi upate chochoteI don't fnck bitches please
Ndoa ni nzuri ukimpata mnaeheshimiana ukiachia mbali kupendanaYeah, na ni Watu Poa sana ila ndo hivyo ndoa huwa ambii kitu 😁
🤣🤣🤣Ana wowowo?Unajisikia raha mwenyewe shooo! unapita huku unatingisha wowowo lako? ringa mwaya umebarikiwa
Analo analo, ni la kwake🤣🤣🤣, hatuwezi kuwa na jinsia mwanaume mwenye wivu kiasi hichi nchini🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ana wowowo?