JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

IMG_20240501_015904.JPG

02:00
 
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.

Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua KUFANYA IBADA Tuuuu!
 

Attachments

  • Screenshot_20240501-191250~2.png
    Screenshot_20240501-191250~2.png
    57.5 KB · Views: 2
Back
Top Bottom