Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Sifa wepesi😂una Anza kwa mbwembwe 🤓, Baadae una chimba🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sifa wepesi😂una Anza kwa mbwembwe 🤓, Baadae una chimba🤣🤣
HahahahahaHapana mukubwa
aisee Leo nime amka mapema Sana, saa 11 asubui.Sifa wepesi😂
Fanya uoeaisee Leo nime amka mapema Sana, saa 11 asubui.
Cha kwanza Nika kimbilia kiporo😆,
Kwanini niruke stage 😆🤓, mchumba tu Sina. Hiyo kuoa SI ndo nita leta jehanam home🤣.Fanya uoe
Wanawake walivyo wengi hivi? Tafuta mmoja mkubaliane then muanze maisha. Mbona simpleKwanini niruke stage 😆🤓, mchumba tu Sina. Hiyo kuoa SI ndo nita leta jehanam home🤣.
Shida Hawa kubali prenup agreement 😆😆.Wanawake walivyo wengi hivi? Tafuta mmoja mkubaliane then muanze maisha. Mbona simple
Mkubwa sema Jambo😆🤣Hili swali limekaa kimkakati sana 😂🙌
Mtag yule mzee Grahams ana mengi ya kusemaMkubwa sema Jambo😆🤣
Acha Sera😆🤣Mtag yule mzee Grahams ana mengi ya kusema
Manyanyaso ya kuwa baned nishayaacha...Mi sipendi dharau Poor Brain
Bora ugali dagaa kwenye amani, kuliko wali nyama wenye ban😆🤣Manyanyaso ya kuwa baned nishayaacha...
Masimango hapana..
Usinipande kichwani....
😂😂😂😂
Jamaa Mara ya mwisho niliona anatumikia kifungoMi sipendi dharau Poor Brain
Sasa hivi kuna mpya hiyo wansema usinioande kichwani....Bora ugali dagaa kwenye amani, kuliko wali nyama wenye ban😆🤣