JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Aliamua akate kona baada ya kuona vijana wa Dar hamujamkaribisha ipasavyo. Angekatiza juu ya ardhi tokea pwani ya Kijichi kuja kuibukia Mbezi beach tuone hivyo vijengo vya katikati hapo vingestahimili rabsha ya bi Hidaya?🤣🤣
Dah angevuruga vby mno bora kapita huko
 
Back
Top Bottom