Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Dah angevuruga vby mno bora kapita hukoAliamua akate kona baada ya kuona vijana wa Dar hamujamkaribisha ipasavyo. Angekatiza juu ya ardhi tokea pwani ya Kijichi kuja kuibukia Mbezi beach tuone hivyo vijengo vya katikati hapo vingestahimili rabsha ya bi Hidaya?🤣🤣