Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Sema mimi shangazi huwa anaweka kila kitu ndani....kula maisha kaka naskia huko ulipo maji ya chupa sio 500 ni afu tatu
Ananunua vya mwaka mzima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema mimi shangazi huwa anaweka kila kitu ndani....kula maisha kaka naskia huko ulipo maji ya chupa sio 500 ni afu tatu
Salamu zimefika kwa wotenipo fresh sana rafiki yangu wasalimie mwanza hukoo
kula maisha kakaAiseee life la huku ni complex zaidi ya ile ya plasmodium....
Wanatuchukulia wote huku ni watumishi mkuu
Yaaah kaka life is too easy kama una sehemu ya kupata chochote kitukula maisha kaka
🙀Humu unaeza ukawa unataniana na wakuu wa nchi , huku wanakucheka tu kwa siri 😂😅
Inabidi sisi ambao tunaomba afu tatu tuunde jukwaa letu tusisemww
Tajiri Fake P Vincenzo Jr
Hivi umekuaje Kaka angu Vin unamzagamua nani?23:09 matajiri hawasambazi umbea inbox wanasambaza pesa masta


Nipangilie mkubwa mwenzangumukubwa mshamba_hachekwi
MCHANA WA MANANE TUNANDIKA WAPI??Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.
Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua KUFANYA IBADA Tuuuu!