Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Nipo leo nna hamu ya kulala ila usingizi umegoma kabisa sijui n nani ananiwaza.01:18
Kwahiyo ndo mmepigwa ban for life au?
01:20
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo leo nna hamu ya kulala ila usingizi umegoma kabisa sijui n nani ananiwaza.01:18
Kwahiyo ndo mmepigwa ban for life au?
Poleni sana usalama wa vitu upo au ndio amesharudisha nyuma maendeleo?00:40
Tumekurupushwa na mwizi🤨
🤣🤣🤣🤣 wa kuwazwa wewe? 🥴🙄Nipo leo nna hamu ya kulala ila usingizi umegoma kabisa sijui n nani ananiwaza.
01:20
ndio hata mimi nashangaa hebu aache huo mchezo saa 12 asubuhi sio mbali. Na kesho ni j3🤣🤣🤣🤣 wa kuwazwa wewe? 🥴🙄
🤣🤣🤣mwambie huo ni mwanzo tu penzi likichuja huo usumbufu wa kukuwaza hautokuwepondio hata mimi nashangaa hebu aache huo mchezo saa 12 asubuhi sio mbali. Na kesho ni j3
😂 unadhani hajui ni makusudi tu🤣🤣🤣mwambie huo ni mwanzo tu penzi likichuja huo usumbufu wa kukuwaza hautokuwepo
🤣🤣🤣🤣 Tena mwambie mapenzi ya sikuhizi huchosha na kuisha mapema mno.😂 unadhani hajui ni makusudi tu
To yeye lala basi inatosha...🤣🤣🤣🤣 Tena mwambie mapenzi ya sikuhizi huchosha na kuisha mapema mno.
Nothing is permanent
Mapenzi ya siku hizi yamelaaniwa kabla ya kuyaanza yalishajifia mda 😂🤣🤣🤣🤣 Tena mwambie mapenzi ya sikuhizi huchosha na kuisha mapema mno.
Nothing is permanent
🤣🤣🤣sad…..unajikuta tu unaruka majivu unakanyaga moto…..ila ndo maisha na maisha ni kupanga kuchagua🥴Mapenzi ya siku hizi yamelaaniwa kabla ya kuyaanza yalishajifia mda 😂
🤣🤣🤣🤣nini bhana niache nikeshe mwenzio…..kwani wamekufanya nini mkuu?🥴To yeye lala basi inatosha...
Nothing!!!!!!1:35
nothing is permanently Wicked world
We jamaa inabidi kesho ununue supu 2 kwa To yeye maana... mtafika usubui kwa staili hii?? mwonee huruma mwenzioMapenzi ya siku hizi yamelaaniwa kabla ya kuyaanza yalishajifia mda 😂
🤣🤣🤣 tulia weweee🤨 nami nafurahi nimepata kampani nawe wamfukuzaWe jamaa inabidi kesho ununue supu 2 kwa To yeye maana... mtafika usubui kwa staili hii?? mwonee huruma mwenzio
duh!!? Kesho utakuwepo kwenye uzi gani nikufatilie kama utakua na point muhimu... Jokes🤣🤣🤣🤣nini bhana niache nikeshe mwenzio…..kwani wamekufanya nini mkuu?🥴
Sidhan maana sitabiriki kuingia jf mkuuduh!!? Kesho utakuwepo kwenye uzi gani nikufatilie kama utakua na point muhimu... Jokes
Hamna sjamfukuza nami namepitia hapa. naona unatoa povu nkaona jamaa kama anakuonea..🤣🤣🤣 tulia weweee🤨 nami nafurahi nimepata kampani nawe wamfukuza