Ngedere1
JF-Expert Member
- Jun 9, 2022
- 369
- 785
Mzee wa yoga mda tayari nn??🧘🏿♂️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa yoga mda tayari nn??🧘🏿♂️
Tumejikongoja kumfukuzia na tujiwe🫤Poleni sana usalama wa vitu upo au ndio amesharudisha nyuma maendeleo?
Na half amerikan anakula kona ya wapi saa hii??Em tulia ndani bhana…..usiku sana sahizi
KumekuchaMzee wa yoga mda tayari nn??
Niambie muujiza gani unataka kuionyesha jf saa ii??Kumekucha
Ushajilaza kama ulivyosema au???Em tulia ndani bhana…..usiku sana sahizi
poleni kwa changamoto hiyo wakuu.Tumejikongoja kumfukuzia na tujiwe🫤
Mimi bado sana kulala nilikuwa napita huko mjini instagram nione yaliyojiri baada ya internet kuzingua.Usilale kaka nami nlikua napasha tu tuendelee na stori kaka😁😁😁😁
😂 sema unajua kupangilia mkuu, supu 2 moja yangu na nyingine ya To yeye wangu muzuri.We jamaa inabidi kesho ununue supu 2 kwa To yeye maana... mtafika usubui kwa staili hii?? mwonee huruma mwenzio
Hakuna namna na maisha lazima yaendelee🤣🤣🤣sad…..unajikuta tu unaruka majivu unakanyaga moto…..ila ndo maisha na maisha ni kupanga kuchagua🥴
Mimi nipo mkuu sina hata tone la usingizi.We si umekimbia nlikua nakupigia debe ukalala?? Sema ashaelewa mkuu
Lete manenoMimi nipo mkuu sina hata tone la usingizi.
😁Niambie muujiza gani unataka kuionyesha jf saa ii??
Mwana mpotevyuu👀👀....
Akuuu🤪🤪Mwana mpotevyuu