Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naaaaaam ndo maana tunatumia VAR kuepuka hayoMademu wasikuhizi ni nyoko kabisa hizi show off zao unaweza tetemeka kumbe ukizoom kwa V.A.R nihatari sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tupe demo mzee baba zinatakiwa ziweje?Hakuna VAR za hivi mzee @pianoman
Kapotea njia achana naye huyo bhana.
V.A.R kwan inatakiwa iweje mkuu?
Kapotea njia achana naye huyo bhana.
sawa boss umeeleweka,Umeziona VAR zako mzee
Picha inakuwa inapatikana na inaonyesha pote na sio kipande unakificha
Yaani picha imepigwa lakini ni vigumu kugundua kosa kwa macho ya kawaida inahitaji umakini
Sasa mkuu piano anakuwa anaficha kipande au kinakuwa kimegichwa halafu kinaonekana baada ya VAR
Angalia VAR za mfilist picha ipo kwa wote ila huoni tatizo mpaka VAR ije ila mwamba piano picha imefichwa by any means huwezi ona hiyo kasoro au kosa
keep it up Mr pianoman
Umeziona VAR zako mzee
Picha inakuwa inapatikana na inaonyesha pote na sio kipande unakificha
Yaani picha imepigwa lakini ni vigumu kugundua kosa kwa macho ya kawaida inahitaji umakini
Sasa mkuu piano anakuwa anaficha kipande au kinakuwa kimegichwa halafu kinaonekana baada ya VAR
Angalia VAR za mfilist picha ipo kwa wote ila huoni tatizo mpaka VAR ije ila mwamba piano picha imefichwa by any means huwezi ona hiyo kasoro au kosa
sawa boss umeeleweka,
Lengo la uzi ni kushare tu, dont take it too serious