JamiiForums V.A.R

JamiiForums V.A.R

V.A.R kwan inatakiwa iweje mkuu?

Umeziona VAR zako mzee

Picha inakuwa inapatikana na inaonyesha pote na sio kipande unakificha

Yaani picha imepigwa lakini ni vigumu kugundua kosa kwa macho ya kawaida inahitaji umakini

Sasa mkuu piano anakuwa anaficha kipande au kinakuwa kimegichwa halafu kinaonekana baada ya VAR

Angalia VAR za mfilist picha ipo kwa wote ila huoni tatizo mpaka VAR ije ila mwamba piano picha imefichwa by any means huwezi ona hiyo kasoro au kosa
 
FB_IMG_1576863833685.jpeg
FB_IMG_1576865833954.jpeg
tapatalk_1576410935051.jpeg
tapatalk_1576904243421.jpeg
tapatalk_1576408869205.jpeg
20191221_065502.jpeg
FB_IMG_1576863950291.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeziona VAR zako mzee

Picha inakuwa inapatikana na inaonyesha pote na sio kipande unakificha

Yaani picha imepigwa lakini ni vigumu kugundua kosa kwa macho ya kawaida inahitaji umakini

Sasa mkuu piano anakuwa anaficha kipande au kinakuwa kimegichwa halafu kinaonekana baada ya VAR

Angalia VAR za mfilist picha ipo kwa wote ila huoni tatizo mpaka VAR ije ila mwamba piano picha imefichwa by any means huwezi ona hiyo kasoro au kosa
sawa boss umeeleweka,

Lengo la uzi ni kushare tu, dont take it too serious
 
Sawa mkuu jimmyfoxxgongo tuta rekebisha hilo.
Umeziona VAR zako mzee

Picha inakuwa inapatikana na inaonyesha pote na sio kipande unakificha

Yaani picha imepigwa lakini ni vigumu kugundua kosa kwa macho ya kawaida inahitaji umakini

Sasa mkuu piano anakuwa anaficha kipande au kinakuwa kimegichwa halafu kinaonekana baada ya VAR

Angalia VAR za mfilist picha ipo kwa wote ila huoni tatizo mpaka VAR ije ila mwamba piano picha imefichwa by any means huwezi ona hiyo kasoro au kosa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom