Akiamka atakutana nayoKeshalala saa hiz dada yangu🤣
Bado weweee 🔥🔥🔥🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️Hongera sanaaa
Hatunaaaaaaaaa 🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️Harusi tunayo hatuna
Jambo gani tena? 🤷♂️Aposto fanya jambo
TunayooooHatunaaaaaaaaa 🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
Kuna jamaa humu alisema jana kuwa inawezekana JF ina memba wa ukweli ambao hawazidi hata 10! Ndiyo maana ukiingia mtaani hakuna anayeifahamu JF. Imejaza mafyekero tu mtu ana akaunti hata 50 😁Hizi anonymous IDs za jf, bure lijamaa linajitongozesha na kujikubali lenyewe 🤔😎
Huyo kaongopa😀😀😀binafsi mtaani kwetu kuna jf members kama 13 ninao wajuaKuna jamaa humu alisema jana kuwa inawezekana JF ina memba wa ukweli ambao hawazidi hata 10! Ndiyo maana ukiingia mtaani hakuna anayeifahamu JF. Imejaza mafyekero tu watu ana akaunti hata 50 😁
Upo sahihi mkuu, watu wana multiple IDs na hapo ndo utata sasaKuna jamaa humu alisema jana kuwa inawezekana JF ina memba wa ukweli ambao hawazidi hata 10! Ndiyo maana ukiingia mtaani hakuna anayeifahamu JF. Imejaza mafyekero tu watu ana akaunti hata 50 😁
Na wewe niliona uzi wako libaharia eti limekuzimikia linataka lioe CPA. Niliumia sana soulimeti.Hongera sana dear na ikawe kheri kwenu 🙏
Jamani 😀😀 hadi mbembetule unaijua soulimeti? Umenikosha, ila bado siku ikitokea ntakualika tuchezeNa wewe niliona uzi wako libaharia eti limekuzimikia linataka lioe CPA. Niliumia sana soulimeti.
Uko poa lakini? Tunacheza mbembetule lini?
hahaha IamBrianLeeSnr nasikia ni mahututi kalazwa hospital huko temeke🤣
😂😂😂Nashauri ufute kwanza app ya bpawa kabla haujaanza kupokea michango😎