Ndio ni fundi cherehani.Umesema ana ofisi ? huyo si fundi cherehani!
" zangu, mwanaume Mcha Mungu, msomi, mwenye ofisi zake kubwa kubwa, handsome, mpole ila mkali kwenye upuuzi, asiyependa wanawake wengi na mwenye mapenzi kama kapewa limbwata, hatoki kokote zaidi ya Mbinguni kwa baba Mungu, Mungu wa ishara na miujiza. Mgweno anisamehe ila naamini huyu ndie niliumbwa toka ubavuni mwakeβ€οΈ."
Umepata kitu chema kama ana sifa hizo
What mlokole? I think he is the figment of imaginationYes.You are not sweetπ¬
You are bitter, rude and disrespectfulπ.
My Mlokole knows that Im capable of love and that's what mattersππ¬
π¬ haha me roporopo? kwan pm basiTatizo wewe ni ropo ropo sanaπ€£.
Kufikia kuzoeana PM na mtu kama wewe ni huge risk.π€£.
Siku ukiniona PM kwako ujue unaotaπ¬.
KabisaaNaomba usiondoke kwenye Uzi Hadi uishe,ujibu maswali yote utayoulizwa!
wish you all the bestπIam too inlove to argue so let's say Iam imagining as you claim so we can all remain happy.
π¬π
Nashukuru mkuu.Nakushukuru kuona kunamaneneo yenye busara na yahekima umeongea kwa msisitizo kwa kujiamini ukumbuke umeweka agano na Mungu siku ukifanya hayo uliyoyaorodhesha lazima itakutokea puani kama sio puani kwenye uzao wako itatokea tu Nakutakia ndoa njema yenye kheri na baraka tele sisi tuanaendelea kutafuta wahatima zetu pia
Ashukuriwe Mungu mwema kwa kila jamboNashukuru mkuu.
Sio rahisi kwani najua kuna packages za majaribu ya aina mbalimbali zinatusubiri lakini kwa msaada wa Mungu nitaliishi hilo agano.
Uzuri mwenza wangu ni mtu wa maombi sana na baada ya kuwa nae maisha yangu ya kiroho yameimarika.Amehakikisha kauvivu nilikokua nako kwenye maombi na kujifunza neno kameondoka..
Once again,asante mkuu.π
Ipoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Harusi tunayoooooooo
KwakwerUsipende kulinganisha mahusiano.
Yakiisha achana nayo, dont mention.
Inaonesha moyo wako uko juu juu
Basi si mpaka iwe kweli[emoji849]Kuna mawili.
Wewe ni ID ya kike ila Muhusika wa ID ni yule alokuanzishia Uzi ( Me ).
Nakam wee kweli ni Ke, basi Kabla ya mwezi huo wa November mtakua mmeshaachana kitambooooo sanaaa Kwa sababu Mubusika atakua keshaichapa Mbususu yako.!!.
Maneno haya, yapige screenshot, kayaprint, uyafiche chini ya godoro !!.
November tukutane !!!