JamiiForums ya Maxence Melo imenipatia mume. Clepatina naolewa

Hongera,zingatia hapo ulipoambiwa usome neno la Mungu na uhakikishe unaliishi,hiyo ndio itakuwa salama yako,kinyume cha hapo utaambulia mabua,maana umeingia kwenye ulingo ambao shetani anauwinda na kuupiga vita usiku na mchana...
Nn mstari, kun watu walisoma kitabu chote Cha biblia mwisho yakaharibika......
 
Hahahaha
 
Hongera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…