JamiiForums ya Maxence Melo imenipatia mume. Clepatina naolewa

Naomba usiondoke kwenye Uzi Hadi uishe,ujibu maswali yote utayoulizwa!
Na wewe usiondoke huko Usukumani uliko bila kupata mwanaume wa ndoto zako hata kama ana daladala (baisikeli) pekee. Nakuombea ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ
 
๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†Umechelewa kunipa huu napita hapa ugogoni muda huu wanapaita sukamahela naona tu Bibi zao wagogo wanaomba hela๐Ÿ™†๐Ÿ™†๐Ÿ™†
 
Ukiolewa tu mgweno anarudi kwa speed ya 5G na utabana mwisho utaachia
 
Kuna mawili.

Wewe ni ID ya kike ila Muhusika wa ID ni yule alokuanzishia Uzi ( Me ).


Nakam wee kweli ni Ke, basi Kabla ya mwezi huo wa November mtakua mmeshaachana kitambooooo sanaaa Kwa sababu Mubusika atakua keshaichapa Mbususu yako.!!.



Maneno haya, yapige screenshot, kayaprint, uyafiche chini ya godoro !!.


November tukutane !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ