JamiiForums ya Maxence Melo imenipatia mume. Clepatina naolewa

JamiiForums ya Maxence Melo imenipatia mume. Clepatina naolewa

I believe in Karma, lazima ulipie.
Hata matatizo mengi ya ndoa za saivi yanatokana na karma, esp wale wanaoana mume alikuwa mnunuaji/mhongaji mke alikuwa mchunaji/mdangaji they will never know peace labda unless they make make peace with themselves first, Sina mambo ya kupeana moyo nikuchanana ukweli, I'm not religious person
You don't have to be religious my friend to know love. You could just advice her but not wishing her anything bad. .

I doubt kama ID ya Clepatina na IamBrianLeeSnr ni moja kwa sababu tunazungumza nao mara kwa mara.

Hata hivyo IamBrianLeeSnr huyu brother nimepata kumjua hapa. Sijawahi wasiliana nae nje ya JF labda tantalk ila ni mtu mwema sana. Pia sidhan mpaka aweke picha yake hapa alikuwa anafanya mzaha. Kweli anampemda huyu Clepatina. I can vouch for that. .
 
Demu chenga huyu anawenge kilo 100 hata kupika hajui 😂😂😂 Clepatina hahahaaa... nasema huyo mlokole wa watu atakufa mapema sana, Bado unavingi vya kujifunza tukutane... Mbeleni nipo na wewe sambamba 🤣🤣🤣
Kubali umeachwa, umeachwa
Usilazimishe, utazeeka vibayaa😂😂
Usiwaze kulipiza kisasi,
Kwa vijembe vingi jf😂😂😂
 
Hahahaa🤣🤣🤣 yani ujanja wote kama sungura ila kupika ni zero...🤣🤣🤣 kumbe bado huja qualifie kuitwa wife material... Nahisi kuna mengi huyajui pia🤣🤣🤣

Hata kupika hajui mtu mwenyewe 🤣🤣🤣 ametaja id ya huyo mlokole kweli 🤣🤣🤣

Demu chenga huyu anawenge kilo 100 hata kupika hajui 😂😂😂 Clepatina hahahaaa... nasema huyo mlokole wa watu atakufa mapema sana, Bado unavingi vya kujifunza tukutane... Mbeleni nipo na wewe sambamba 🤣🤣🤣

Kama kupika ni ishu je usafi vipi...Zero pia na malezi kwa watoto Je? Zero pia 🤣🤣🤣
What's wrong babaa..??
Kibuti kinauma eeh'..?? Pole mwaya jikaze kiume, don't hate this much, hapo panapouma papulize papoe..!😂😂🙌
 
Anawatania.
Kumbe? dah huyu clepatina angejua I only wanted a kiss from her that will set me free. Nothing else. .
Screenshot_20230531_095255_Google.jpg
tumblr_pbkl2lk4zz1tpnsbjo4_400.gif
 
Demu chenga huyu anawenge kilo 100 hata kupika hajui 😂😂😂 Clepatina hahahaaa... nasema huyo mlokole wa watu atakufa mapema sana, Bado unavingi vya kujifunza tukutane... Mbeleni nipo na wewe sambamba 🤣🤣🤣
oh ooooo niko pale how you are losing her. She is a real thing nigher if I wasn't married aisee angesimulia kuwa wachaga wanajua kupenda 🤐
Screenshot_20230531_003101_Google.jpg
 
You don't have to be religious my friend to know love. You could just advice her but not wishing her anything bad. .

I doubt kama ID ya Clepatina na IamBrianLeeSnr ni moja kwa sababu tunazungumza nao mara kwa mara.

Hata hivyo IamBrianLeeSnr huyu brother nimepata kumjua hapa. Sijawahi wasiliana nae nje ya JF labda tantalk ila ni mtu mwema sana. Pia sidhan mpaka aweke picha yake hapa alikuwa anafanya mzaha. Kweli anampemda huyu Clepatina. I can vouch for that. .
Damn.. I know nobody personally hapa nasikujua muanzisha uzi na mwenzake wapo wanatusoma. Wanisamehe nimekosa I might look negatively but I was just trying to speak my mind maybe because of what I'd been through (nimevurugwa) .
Sorry guys wish you all the best
 
Back
Top Bottom