JamiiForums yapongezwa Bungeni kwenye Bajeti Kuu ya Serikali. Maxence Melo apongezwa kwa Uzalendo wa Ushauri Kodi Biashara ya Mtandao

JamiiForums yapongezwa Bungeni kwenye Bajeti Kuu ya Serikali. Maxence Melo apongezwa kwa Uzalendo wa Ushauri Kodi Biashara ya Mtandao

Mwigulu awe real? Kesi dhidi ya Maxence zilifunguliwa Waziri wa Mambo ya ndani akiwa Nani? Acha kumwamini Huyo Mnafiki, anaona Mello habadili msimamo na watu wanampenda anajifanya kumpongeza ili aungwe mkono JF.
Ni mtazamo wako mwanabodi; ila mimi naona Madelu alikuwa real.
 
Katika hotuba yake ya bajeti, leo hii 14/06/2022, Waziri wa Milango na Fedha, ndg Mwigulu Nchemba leo amempongeza kwa jina , Maxence Mello kwa kazi nzuri ya kuwaunbanisha wana mitandao na kukubaliana kiutaratibu na serikali.

Huku ni kutambuliwa kwa m tandao wetu pendwa wa Jamiiforums.

Hongera sana Max kwa kazi yako ya kujitolea kwa ajili ya free speech kwa muda mrefu na hatimaye serikali kuikubali mitandao na kuipongeza.
Niliwahi kusema Jamiiforum inatakiwa ipewe ulinzi maalumu kama Elon musk... Yani acha kabusa
 
Mwigulu awe real? Kesi dhidi ya Maxence zilifunguliwa Waziri wa Mambo ya ndani akiwa Nani? Acha kumwamini Huyo Mnafiki, anaona Mello habadili msimamo na watu wanampenda anajifanya kumpongeza ili aungwe mkono JF.
Ukinipapasa Nita.............
 
Back
Top Bottom