PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Kwani ukikaa kimya wewe kumsikiliza ndiyo nchi nzima? Au kwa kuwa kila alipofanya tukio vyombo vya habari na mitandao vilikua vikilazimishwa kumuonyesha yeye tu ndiyo unaita nchi nzima?Weee acha unakaa, na unafiki wa wazi .
Unafiki unawasaidia nn?.
JPM alikua Kila anapoongea na Taifa au Wananchi.... NCHI YOTE INAKAA KIMYA KUMSIKILIZA.